SERIKALI KUPINGA VIKALI UKATILI DHIDI YA WAZEE

Na Barnabas Kisengi-Dodoma  KATIKA kuhakikisha ulinzi na usalama kwa wazee wote hapa nchini unaimarika, serikali inaratibu utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa kutokomeza mauaji ya wazee 2018/ 2019 – 2022- 2023, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha ulinzi na usalama wa wazee wasiojiweza na ambao hawana watu wa kuwatunza huku serikali  ikiendelea  kusimamia matunzo katika makazi