SERIKALI KUPINGA VIKALI UKATILI DHIDI YA WAZEE
Na Barnabas Kisengi-Dodoma KATIKA kuhakikisha ulinzi na usalama kwa wazee wote hapa nchini unaimarika, serikali inaratibu utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa kutokomeza mauaji ya wazee 2018/ 2019 – 2022- 2023, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha ulinzi na usalama wa wazee wasiojiweza na ambao hawana watu wa kuwatunza huku serikali ikiendelea kusimamia matunzo katika makazi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed